Комментарии:
Mawahabi mmewafanyia nn wapalestina mashia ndio wamepambana na wameumia lakininwameonesha umoja nyie mawahabi ni vibaraka tu
ОтветитьKumbe shida ni msilahii hapo nimekuelewa
ОтветитьMimi na shangaa wakati mna furahiya kifo Cha mohamedi idd Sasa mmetafuta kauchocholo ka kujificha ili kulipoteza masikioni mwa watu
ОтветитьMASHAALLAH
ОтветитьAndika baruwa utajibiwa
ОтветитьTunaitaji viongozi wenye uwezo wa kusema pindi unapo dhihiri uovu.
ОтветитьAcha kutafuta shari.Ofisi ya sheikh wa mkoa wa mwanza ipo kwa nini usiende huko?.Hata mufti wa Tanzania unaweza kuonana naye na mkaweka sawa mambo haya.
Ответитьhuyu jamaa mbona ana umimi sana?acha kiburi chako kwa kujiona bora kuliko masheikh zako.
Ответитьmaadui wa Islam ndio mifano yawaingereza usiilete kwenye dini
ОтветитьMbona kijana wenu amefulaiya kifo cha shekhe mbona haukujibu usitishe mtu wewe
ОтветитьInashangaza saaana viongozi wa wakati huu kwa hii tabia ta kuwazungumzia marehemu walio tangulia mbele ya haki ili tuelewe kuwa huo ni ushahidi wa wanayoyasimamia? Hao marehemu tutamaliza ili tuthibitidhe ukweli wa yaliyo semwa?
Ответитьlkn protokali kwa nini zifatwe zitumwe barua kwa husika kuliko maneno maneno nawote mnajuana
ОтветитьMawahabi munafujo ktk dini
ОтветитьKiufupi nyie ni maadui zetu kwani hamlioni hilo au mnalazimisha muwe pamoja na sisi?
ОтветитьMsitishe watu bwana mbona hamumzungumzii alie furahia kifo cha shekh mumemuona kabeke
ОтветитьWAHABI NDO KINA NANI?UU NI FIKRA ZA KIPUMBAVU NA KUCHANGANYA WATU WASIO NA ELIMU?
ОтветитьMungu tunakuomba kwa fadhira zako na utukifu wako, peleka amani katika eneo hilo.
ОтветитьHilo la Shekh Issa kuipindua Bakwata si kweli bali ukweli ni kwamba waanzilishi wa bodi ya muslim trustees ndiyo walitaka kuipindua Bakwata na wakamtaka awemo kwenye bodi hiyo kama mjumbe tu asiye na cheo chochote. Shekh alikwashtukia na akagundua njama yao hiyo ya mapinduzi wakitaka siyo kuipindua bakwata tu bali kumpindua yeye.
Sahihisha hiyo taarifa yako.
Shida wawashia wanataka kuitawara Saudia namiji yake mitukufu
ОтветитьHawa warakuwa harubati yauwongo uwongo nyinyi mashia wachonganishi mnataka kuivamia Saudia tu
ОтветитьHawa mashia wairani
ОтветитьShirari mkorofi tu kama jina lakke
Ответить