Комментарии:
Nasubiri battle ya shetani na mungu wa tz ktk uchaguzi huu
Nani ataibuka mshindi
Waziri upo vizuri sana nakukubali wewe ni mwanasheria uliebobea hongera kaka
ОтветитьWaziri mchengerwa unakitendea haki kiti chako hongera
ОтветитьHao wanaofunga ofisi ili wahusika wasipate barua za utambulisho ktk vituo, hujawasikia nao? Na wanaowachanja wenzao kwa viwembe je? Mungu anawaona na hili liko wazi kama wale wakoma!
ОтветитьMonarchism😊
ОтветитьHivi huyu mchengerwa ni Tanzania au mzanzibar?
ОтветитьTanzania ni nchi ya ajabu sana Mchengerwa ni mwana CCM na Mjumbe wa NEC WA CCM anakuwaje Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa serikali za mitaa chini ya mfumo wa vyama vingi?? wewe unachezea timu moja unawezaje kutoa haki kwa timu zingine wkt wewe una maslahi kwenye mchezo unaosimamia???je Simba na Yanga wakicheza Kiongozi wa Yanga awe refarii nani angekubali upuuuzi huo??
Ответить